Gumzo Mitaani: Ukabila na ufisadi Kenya
Wednesday February 23, 2011
Alternative text.
Gumzo Mitaani: Ukabila na ufisadi Kenya...
Imesemwa kwamba ukabila na ufisadi ndio adui wa maendeleo. Mambo mengi hayatekelezwi kwa njia inayostahili kutokana na maovu hayo ya kijamii na ingawa kuna tume za kukabiliana na hayo athari zake hazikosi kuonekana kila siku hapa nchini. Wakaazi wa Kabarnet Baringo wanazungumzia hilo katika kikao cha gumzo mitaani.
0 Comments
Today's Highlights
Today's Schedule
May 17, 2012
1200 PM Live
1300 NTV at 1
1400 Until Forever
1500 Cartoon Network
1600 NTV at 4
1630 Whats With Andy
1730 The Beat
1800 Mara Clara
1900 NTV Jioni
1930 Beautiful But Unlucky
2030 Mali
2100 NTV Tonight
2150 Africa Business Agenda




