Maajabu Loliondo Pt. 2

Wednesday March 23, 2011

Share Bookmark Print Email Rating

Alternative text.
Maajabu Loliondo Pt. 2...

Mimi si mganga wa kienyeji,ninatibu kwa miujiza ya mungu. Hayo ni maneno ya mchungaji Ambilikile Mwasapile ambaye amekuwa kivutio cha wengi kutokana na dawa yake inayotibu magonjwa sugu kama ukimwi na saratani huko Loliondo nchini Tanzania. Hata hivyo Ambilikile anasisitiza kuwa kupona kwa mgonjwa kunategemea imani yake. Inafuata sasa sehemu ya mwisho ya makala maalum ya Maajabu Loliondo.
Tunaarifiwa kuwa mchungaji huyo Ambilikile Mwasapile atabadilisha eneo la utoaji dawa. Ambilikile anapanga kwenda katika eneo lenye nafasi kubwa kwani watu wanazidi kumiminika katika makaazi yake kijijini Samunge.

Share This Story
Share

1 Comments
Login Not a member?  Register here

You need to login first to submit a comment.

Submitted by tonyngache
Posted March 23, 2011 11:55 PM

loliondo pt 2 is seen to be more than a miracle !!!

Today's Highlights
Today's Schedule
May 21, 2012

1200 PM Live
1300 NTV at 1
1400 Until Forever
1530 Cartoon Network
1600 NTV at 4
1700 The Beat
1800 Mara Clara
1900 NTV Jioni
1930 Beautiful But Unlucky
2030 Demigods
2100 NTV Tonight
2150 The Hostel

2230 Little Star