News

Maonyesho ya utalii Berlin


Kenya ni miongoni mwa mataifa yanayoshiriki katika makala ya 44 ya maonyesho makubwa zaidi ya utalii duniani jijini berlin ujerumani. Kenya inawakilishwa na makampuni 20 katika maonyesho hayo yanayoandaliwa kila mwaka. Halmashauri ya utalii nchini ktb inaongoza ujumbe wa kenya katika maonyesho. Richard chacha yuko jijini humo na ametuma taarifa ifuatayo.

Today's Highlights
Today's Schedule
February 9, 2012

1200 PM Live
1300 NTV at 1
1330 MoreThan Love
1500 Cartoon Network
1600 NTV at 4

1630 Unfabulous

1730 The Beat
1800 Rivals
1900 NTV Jioni
1930 Beautiful But Unlucky
2030 Mali
2100 NTV Tonight
2200 Extreme Makeover: Home Edition