Msanii na Sanaa: Mlinzi wa mheshimiwa

Wednesday February 23, 2011

Share Bookmark Print Email Rating

Alternative text.
Msanii na Sanaa: Mlinzi wa mheshimiwa...

Wasanii wengi hupata msukumo wa kuendeleza vipawa na kazi zao kutokana na matukio ya kweli maishani mwao. Mmoja wao ni Afande Ben ambaye mchumba wake alimtoroka alipokuwa katika chuo cha mafunzo ya polisi. Msanii huyo alitunga wimbo kuhusu kisa hicho baada ya kumaliza mafunzo yake na sasa ni msanii huku akiwa ni mlinzi wa mheshimiwa mbunge wa Budalang’i Ababu Namwamba.

Share This Story
Share

0 Comments
Login Not a member?  Register here

You need to login first to submit a comment.

Today's Highlights
Today's Schedule
May 21, 2012

1200 PM Live
1300 NTV at 1
1400 Until Forever
1530 Cartoon Network
1600 NTV at 4
1700 The Beat
1800 Mara Clara
1900 NTV Jioni
1930 Beautiful But Unlucky
2030 Demigods
2100 NTV Tonight
2150 The Hostel

2230 Little Star