-
DPM launches new party
20/5/2012
-
Show of financial muscle at TNA launch
20/5/2012
-
Parties scramble for EALA seats
20/5/2012
-
Raila, Mudavadi battle it out in Mombasa
20/5/2012
-
Presidential hopefuls find new homes
20/5/2012
-
Urban women turn to artificial hips
20/5/2012
-
Chicken farmers conned
20/5/2012
-
ODM and UDF vie for coastal votes
19/5/2012
-
Uhuru set to announce new party
19/5/2012
-
Karua rejects Kibaki appointments
19/5/2012
-
Kibaki wants speedy NHIF saga probe
19/5/2012
-
Engineers unsure over length of Mai Mahiu repairs
19/5/2012
-
"Mentally disturbed" man shot dead by police
19/5/2012
-
Nairobi women in free hug campaign
19/5/2012
-
TEAMs fiber optic cable repaired
18/5/2012
-
Cruelty worries as National Donkey Day is marked
18/5/2012
-
Bull's-Eye: The Kati Kati affair
18/5/2012
-
Engineers begin repairs on Mai Mahiu road
18/5/2012
-
Police say proposed traffic rules long overdue
18/5/2012
-
FKE wants county appointments revoked
18/5/2012
-
NEMA to clamp down on noise pollution with new gadget
18/5/2012
-
Nyeri woman commits suicide in lodge
18/5/2012
-
Two children electrocuted in Kisauni
18/5/2012
-
Policeman shoots girlfriend and kills himself
18/5/2012
-
Over 5000 left homeless in Baringo tension
18/5/2012
-
Council meets amid looming shortage
18/5/2012
-
The Health Assignment: The perils of Caesarean Section
18/5/2012
-
KQ launches flight to New Delhi
18/5/2012
-
Wrangles over regional assembly seats
18/5/2012
NTV Jioni
Msanii na Sanaa: Habel Kifoto
Tuesday August 2, 2011
Na katika makala ya Msanii na Sanaa tunakuletea kumbukumbu ya msanii mashuhuri wa humu nchini kutoka Taita Taveta, marehemu Habel Kifoto. Alikuwa muasisi wa bendi ya jeshi ya Maroon Commandos na alifariki akiwa ni mwenyekiti wa chama cha kutetea haki za wanamuziki wa Kenya.
Maajabu Loliondo Pt. 2
Wednesday March 23, 2011
Mimi si mganga wa kienyeji,ninatibu kwa miujiza ya mungu. Hayo ni maneno ya mchungaji Ambilikile Mwasapile ambaye amekuwa kivutio cha wengi kutokana na dawa yake inayotibu magonjwa sugu kama ukimwi na saratani huko Loliondo nchini Tanzania. Hata hivyo Ambilikile anasisitiza kuwa kupona kwa mgonjwa kunategemea imani yake. Inafuata sasa sehemu ya mwisho ya makala maalum ya Maajabu Loliondo.
Tunaarifiwa kuwa mchungaji huyo Ambilikile Mwasapile atabadilisha eneo la utoaji dawa. Ambilikile anapanga kwenda katika eneo lenye nafasi kubwa kwani watu wanazidi kumiminika katika makaazi yake kijijini Samunge.
loliondo pt 2 is seen to be more than a miracle !!!
Maajabu Loliondo Pt. 1
Tuesday March 22, 2011
Tangu jadi wachungaji na wahubiri na baadhi ya wanaojiita manabii wamekuwa wakidaiwa kufanya yale ambayo yameshindikana kufanyika kupitia sayansi ya kisasa. Yaani kuponya wagonjwa kwa kumshika kwa mkono, au kupigwa na upepo au kwa kutumia njia ya ajabu. Lakini ni wachache kama wapo ambao wanaponya kwa imani. Katika miezi michache iliyopita maelfu ya watu wa matabaka tofauti wanamiminika katika kijiji kimoja kaskazini mwa Tanzania ili kupata kikombe cha dawa kutoka kwa aliyekuwa mchungaji wa Kanisa la Lutheran, Ambilikile Mwasapile. Mzee huyo wa umri wa miaka 72 anasema kuwa anaweza kutibu magonjwa sugu kama ukimwi, saratani na hata kisukari. John-Allan Namu ambaye amerejea ameandaa sehemu ya kwanza ya makala yafuatayo ya maajabu loliondo ambayo yamesomwa na Rashid Abdallah.
Gumzo Mitaani: Ukabila na ufisadi Kenya
Wednesday February 23, 2011
Imesemwa kwamba ukabila na ufisadi ndio adui wa maendeleo. Mambo mengi hayatekelezwi kwa njia inayostahili kutokana na maovu hayo ya kijamii na ingawa kuna tume za kukabiliana na hayo athari zake hazikosi kuonekana kila siku hapa nchini. Wakaazi wa Kabarnet Baringo wanazungumzia hilo katika kikao cha gumzo mitaani.
Msanii na Sanaa: Mlinzi wa mheshimiwa
Wednesday February 23, 2011
Wasanii wengi hupata msukumo wa kuendeleza vipawa na kazi zao kutokana na matukio ya kweli maishani mwao. Mmoja wao ni Afande Ben ambaye mchumba wake alimtoroka alipokuwa katika chuo cha mafunzo ya polisi. Msanii huyo alitunga wimbo kuhusu kisa hicho baada ya kumaliza mafunzo yake na sasa ni msanii huku akiwa ni mlinzi wa mheshimiwa mbunge wa Budalang’i Ababu Namwamba.
Ni uganguzi au wizi?
Sunday January 23, 2011
Kulikuwa na hekaheka katika kiwanda cha kusaga nafaka cha Kabansora hapa jijini Nairobi wakati waganga walipoitwa kutatua kesi ya wizi katika kampuni hiyo. Tairi za thamani ya shilingi milioni moja unusu zilitoweka na wakati wasimamizi wa kiwanda waliposhindwa kumtambua mwizi wakawaita waganga kuwasaidia.
Nzambani: Jiwe la ajabu Kitui
Monday October 4, 2010
Kuna mengi ya kihistoria ambayo hayajaangaziwa kikamilifu katika maeneo mbalimbali ya humu nchini. Moja ya maeneo hayo ni jiwe la nzambani kiungani mwa mji wa Kitui. Kuna jiwe moja ambalo inadaiwa ukilizunguka mara saba utabadilika maumbile yakjo ya kijinsia. Lolani atuarifu zaidi.
Mbitini Kamuti special
Monday October 4, 2010
Kila yakitajwa mambo ya uchawi jimbo la Kitui huongoza lakini ukweli wa jambo hilo haujawahi kuthibitishwa. Kuna wengi huenda Kitui kutafuta hata dawa za mapenzi. Lolani Kalu alisafiri hadi Mbitini na kukutana na mganga mmoja maarufu katika eneo hilo ambaye inaaminika hukabiliana vilivyo na athari za uchawi.
Usiku wa raha Kitui
Monday October 4, 2010
Kulikuwa na shamrashamra za mwisho wa wiki katika mkahawa wa riverside mjini kitui wakati wa shindano la kusisimua la kucheza densi. Mihemko ilikuwa ya hali ya juu kama anavyotuarifu Lolani Kalu.
Upekuzi: Makala ya ndoto languzi pt. 3
Friday September 24, 2010
Katika hitimisho la Ndoto Languzi katika makala ya upekuzi Mustafa Mwalimu anaangazia jinsi polisi wanavyochangia kuendelea kudumu kwa biashara haramu ya ulanguzi wa watu. Aidha Mustafa na mwenzake Yassin Juma walikamatwa na polisi walipokuwa wakiwaandama Waethiopia waliokuwa wakisafirishwa kutoka Moyale hadi Nairobi.
1200 PM Live
1300 NTV at 1
1400 Until Forever
1530 Cartoon Network
1600 NTV at 4
1700 The Beat
1800 Mara Clara
1900 NTV Jioni
1930 Beautiful But Unlucky
2030 Demigods
2100 NTV Tonight
2150 The Hostel
2230 Little Star






