News

Ni uganguzi au wizi?


Kulikuwa na hekaheka katika kiwanda cha kusaga nafaka cha Kabansora hapa jijini Nairobi wakati waganga walipoitwa kutatua kesi ya wizi katika kampuni hiyo. Tairi za thamani ya shilingi milioni moja unusu zilitoweka na wakati wasimamizi wa kiwanda waliposhindwa kumtambua mwizi wakawaita waganga kuwasaidia.

Today's Highlights
Today's Schedule
May 21, 2012

1200 PM Live
1300 NTV at 1
1400 Until Forever
1530 Cartoon Network
1600 NTV at 4
1700 The Beat
1800 Mara Clara
1900 NTV Jioni
1930 Beautiful But Unlucky
2030 Demigods
2100 NTV Tonight
2150 The Hostel

2230 Little Star